Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach
Kwa usafiri wa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha, safiri kwa raha na Simba Mtoto Luxury Coach
Showing posts with label JK. Show all posts
Showing posts with label JK. Show all posts
Monday, November 8, 2010
Safari ya kuundwa baraza la mawaziri YAIVA
RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzani Dkt. Jakaya Kikwete ameridhia kuitishwa kwa bunge la 10 la jamhuri ya muungano ambalo sasa litafanyika kuanzia Novemba 12 hadi 17 mwaka huu ambapo pamoja na mambo mengine litatumika kuapishwa kwa wabunge hao na kutoa fursa kwa Rais huyo kumchagua Wazii Mkuu na kuunda baraza lake la Mawaziri ambalo Watanzania wengi wana hamu ya kuona sura mpya zitakazoingia humo na kumsaidia kazi ya kuijenga Tanzania katika kipindi chake cha mwisho cha utawala wake wa miaka 10.
Friday, November 5, 2010
JK kuapishwa kesho uwanja wa Uhuru
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tikiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Jakaya Kikwete, akionesha cheti cha ushindi wa mbio za urais uliohusisha wagombea saba wa vyama vya siasa vya upinzani kwa mashabiki na watu mbalimbali waliojiokeza kushuhudia NEC ikitangaza matokeo ya kinyang'anyiro hicho baada ya kutangazwa na Mwenyekiti wa NEC Jaji (Mstaafu) Lewis Makame kwenye ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es salaam, leo.
Subscribe to:
Posts (Atom)

