Kwa usafiri wa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha, safiri kwa raha na Simba Mtoto Luxury Coach
Wednesday, October 27, 2010
'Nyomi kwa Januari Makamba'
Umati wa watu uliofurika katika uwanja wa Bumbuli kumsikiliza mgombea ubunge wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Dkt. Jakaya Kikwete alifika kufanya kampeni. Mbunge wa jimbo hilo ni Januari Makamba ambaye amepita bila kupingwa.
No comments:
Post a Comment