| MKUU WA MKOA WA TANGA MEJA JENERALI (MSTAAFU) SAID KALEMBO AKIPATA MAELEZO KUTOKA KWA MTAALAMU WA KIVUKO CHA MTO PANGANI ABACHO KIMEGONGWA NA GARI LILILOPOTAKA KUTOKA KAIKA KIVUKO HICHO. |
Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach
Kwa usafiri wa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha, safiri kwa raha na Simba Mtoto Luxury Coach
Friday, April 8, 2011
KALEMBO ATEMBELEA KIVUKO PANGANI KILICHOGONGWA
Thursday, April 7, 2011
OLE KUYAN AZINDUA MRADI WA MAJI PANGANI
| KATIBU TAWALA WA MKOA WA TANGA BW. BENEDICT OLE KUYAN AKIZINDUA MRADI WA MAJI WA KIJIJI CHA UBANGAA KILICHOPO WILAYANI PANGANI HIVI KARIBUNI. |
| BAADA YA KUZINDUA MRADI WA MAJI KAIBU TAWALA WA MKOA WA TANGA BW. BENEDICT OLE KUYAN ALIMBANDIKA NDOO YA MAJI MAMA MMOJA KIJIJINI HAPO KAMA ISHARA YA KUZINDUA MRADI HUO. |
Friday, March 4, 2011
MWANAMKE KUJIREMBA NA KUJIPAMBA
| RAISA SAID AKICHAGUA UREMBO WA KUVAA NA KUJIPAMBA MWANAMKE KWENYE VIWANJA VYA TANGAMANO KULIKOFANYIKA SHEREHE ZA WIKI WA WALEMAVU. |
| MZUNGU AMBAYE JINA LAKE HALIKUPATIKANA MARA MOJA NAYE PIA ALIVUTIWA NA UREMBO WA KUJIPAMBA MWANAMKE ALIPONUNUA ILI NAYE AWE KAMA MWAFRIKA. |
| RAISA SAID NA RAFIKI YAKE WA KIZUNGU WAKIKUMBATIANA BAADA YA KILA MMOJA KUNUNUA UREMBO WA KUJIPAMBA MWANAMKE KWENYE VIWANJA HIVYO VYA TANGAMANO. |
Monday, February 7, 2011
JAJI KIPENKA ATAKA WATUMISHI WA MAHAKAMA WAWAELEWESHE WANANCHI TARATIBU ZA KIMAHAKAMA
![]() |
| WAKUU WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WALIKUWEPO KATIKA SHEREHE YA SIKU YA SHERIA NCHINI AMBAPO MGENI RASMI ALIKUWA JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA TANGA, JAJI MUSSA KIPENKA. |
![]() |
| JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA TANGA, JAJI MUSSA KIPENKA AKIZUNGUMZA KWENYE SHEREHE YA SIKU YA SHERIA ILIYOFANYIKA KWENYE VIWANJA VYA MAHAKAMA JIJINI TANGA. |
![]() |
| HAKIMU MKAZI MFAWIDHI WA MAHAKAMA YA WILAYA MKOANI TANGA RM INCHARGE MR. CHUMA AKITOA UFAFANUZI WA MAMBO MBALIMBALI KUHUSU SIKU YA SHERIA ILIPOFANYIKA JIJINI TANGA. |
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu kanda ya Tanga, Jaji Mussa Kipenka, amewataka watumishi wa mahakama nchini kuwaelewesha wananchi kuhusu taratibu mbalimbali za mahakama wakati mchakato wa kutoe elimu kwa jamii ukiandaliwa.
Akizungumza katika siku ya sheria iliyofanyika kwenye viwanja vya mahakama Kuu kanda ya Tanga, Jaji Kipenka alisema wananchi kutokana na kutokujua taratibu za mahakama wamekuwa wakipoteza muda mwingi kutafuta haki ama kufungua kesi au kukata rufaa kuitafuta haki katika mamlaka zisizohusika.
“Changamoto kubwa iliyopo mbele yetu ni kuboresha eneo hili la elimu kwa umma ili taratibu na shuguli za mahakama ziwe wazi kwa wananchi…Hivyo ni vema sasa watumishi na watendaji wote wa mahakama wawajibike kwa kutoa maelekezo kwa wananchi kuhusu taratibu za mahakama pale zinapohitajika,” alisema Jaji Kipenka.
Hata hivyo, Jaji huyo alikiri kuwepo kwa tatizo la kuhusiana na sheria ya mwenendo wa mashauri ya kesi za madai ambazo amedai kutokana na taratibu zake imekuwa ni vigumu kueleweka hasa kwa mwananchi ambaye hajasomea fani ya sheria.
Akifafanua Jaji Kipenka alisema kwa kiwango kikubwa mapungufu yaliopo katika sheria hiyo yamekuwa yakisababisha ‘wadaawa’ (wanaofungua kesi za madai) kutofahamu hatua muhimu za kuchukua kabla au baada ya kufungua mashauri hayo ambayo wengi wamekuwa wakikosea sana.
“Elimu kwa umma ni changamoto kubwa kwa mahakama ya Tanzania na ipo haja ya kuchukua hatua madhubuti ikiwa ni pamoja na mahakama kuanzisha programu mahususi ya elimu kwa umma ili kuwaelimisha wananchi kuhusu shughuli zetu za kimahakama,” alisema Jaji Kipenka.
Katika sherehe hiyo iliyoongozwa na kuandaliwa vema na Msajili Mfawidhi wa wilaya wa mahakama Kuu kanda ya Tanga, Bw. Benedict Mwingwa, kauli mbiu yake kwa mwaka huu ilikuwa ni “Umuhimu wa elimu kuhusu mahakama kama hatua ya msingi ya utatuzi wa migogoro katika jamii”.
Friday, February 4, 2011
Wednesday, February 2, 2011
JANUARY MAKAMBA KUZINDUA MPANGO WA KUPATA KERO ZA JIMBO LAKE KUPITIA SMS KUTOKA KWA WANANCHI WAKE
Saturday, January 29, 2011
KALEMBO AFUNGA MAFUNZO YA OPERESHENI UZALENDO MGAMBO JKT
| WAJUMBE WA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA NA WAGENI WENGINE WALIOALIKWA KUHUDHURIA UFUNGAJI WA MAFUNZO HAYO KWENYE KAMBI HIYO YA 835 KJ MGAMBO JKT. |
| MKUU WA MKOA WA TANGA MEJA JENERALI (MSTAAFU) SAID KALEMBO AKIKAGUA GWARIDE LA VIJANA WANAOMALIZA MAFUNZO YA OPERESHENI UZALENDO KATIKA KAMBI YA 835 KJ MGAMBO JKT WILAYANI HANDENI. |
| VIJANA WANAOMALIZA MAFUNZO YA OPERESHENI UZALENDO WAKIPITA KWA MWENDO WA KASI NA KUTOA HESHIMA KWA MGENI RASMI AMBAYE NI MKUU WA MKOA WA TANGA MEJA JENERALI MSTAAFU SAID KALEMBO. |
| VIJANA WAKILA KIAPO CHAO CHA UTII KWA TAIFA MARA BAADA YA KUMALIZA MAFUNZO YAO YA OPERESHENI UZALENDO. |
Wednesday, January 26, 2011
MANCHESTER HAISHIKIKI LIGI KUU UINGEREZA
Tuesday, January 25, 2011
LUTINDI INAVYOPONESHA WAGONJWA WA AKILI
| MJI WA BERTHANIA ULIOPO KIJIJI CHA LUTINDI WILAYANI KOROGWE |
| MGONJWA WA AKILI HAMISI AKIWA AMEPOZI KWA MAJIRANI ZAKE JIRANI NA HOSPITALI YAO YA LUTINDI, MAJIRANI WAMESEMA MGONJWA HUYO SASA ANAAFADHALI KULIKO MIAKA MITATU ILIYOPITA. |
Wednesday, January 19, 2011
NI ADHA KUBWA YA MAJI WILAYANI HANDENI
HAKIMU ASIMAMISHA KESI KISA MOSHI KUSUMBUA MAHAKAMA KIASI CHA WATU KUSHINDWA KUPUMUA
| MOTO UKIWAKA NA KUTOA MOSHI JIRANI NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI MFAWIDHI WA WILAYA YA HANDENI KIASI CHA KUSABABISHA HAKIMU AWAAMURU POLISI KUWASAKA NA KUWAKAMATA WALIOCHOMA MOTO HUO. |
Friday, January 14, 2011
BREAKING NEWS BASI LA SETELITE LAPATA AJALI!!!!
BASI LA SETELITE LILILOKUWA LIKITOKEA DAR ES SALAAM KWENDA TANGA, LIMEPATA AJALI BAADA YA KUPINDUKA KATIKA ENEO LA KIRAPURA NA WATU KADHAA WAMEJERUHIWA, HABARI KAMILI KUPATA IDADI YA WATU WALIOJERUHIWA NA MAJINA YAO, TUTAWATAJIENI PINDI YATAKAPOPATIKANA KUTOKA KWA WENYE MAMLAKA YA KUFANYA HIVYO.
Wednesday, January 12, 2011
MISHKAKI HII WAWEZA KULA?
MKUTANO WA UWEKEZAJI TANGA ULIVYOFANA WATU MBALIMBALI WALIKABIDHIWA VYETU
| BW. TARIMO WA ECKENFORDE AKIKABIDHIWA CHETI CHAKE CHA MMOJA YA WAWEKEZAJI WA SEKTA YA ELIMU MKOANI TANGA NA WAZIRI WA UWEKEZAJI DKT MARY NAGU. |
ALIYEKUWA MEYA WA JIJI LA TANGA (sasa mtu wa kawaida) SALIM KISAUJI (kushoto) AKIWA NA SWAHIBA WAKE BW. MABAMVUA ALIYEKUWA NAIBU WAKE SASA WOTE WALIKOSA NAFASI ZA UDIWANI BW. MABAMVUA ALIGOMBEA UDIWANI KATA YA DUGA AKASHINDWA NA BW. KISAUJI ALIGOMBEA UBUNGE AKASHINDWA. NAO WALIKUWEPO KWENYE MKUTANO HUO WA UWEKEZAJI ULIOFANYIKA KWENYE HOTEL YA MKONGE JIJINI TANGA.
WADAU MBALIMBALI WALIKUWEPO KWENYE MKUTANO WA UWEKEZAJI MKOA WA TANGA AMBAO ULITUMIKA KUJADILI KWA KINA FURSA ZILIZOPO NA NAMNA AMBAZO ZITATUMIKA KWA KUWAKARIBISHA WAWEKEZAJI WAKUBWA AMBAO WAMEKUWA NA MITAJI MIKUBWA.MKUTANO HUO PIA BAADHI YA WATU WALIOTOA MCHANGO MKUBWA KATIKA MAENDELEO YA MKOA HUO WALIKABIDHIWA VYETI VYA HESHIMA NA WAZIRI WA UWEZESHAJI DKT MARY NAGU KWENYE MKUTANO HUO.
TANGA YAPANIA KUALIKA WAWEKEZAJI WAKUBWA KUWEKEZA MIRADI MIKUBWA
| WAZIRI WA UWEZESHAJI NA UWEKEZAJI DKT MARY NAGU AKIWA PAMOJA NA MBUNGE WA LUSHOTO BW. HENRY DAFFA SHEKIFU KWENYE MKUTANO WA UWEKEZAJI MKOA WA TANGA ULIOFANYIKA KWENYE HOTELI YA MKONGE JIJINI TANGA, |
| WAJASIRIAMALI WADOGO NA WAKUBWA WALIKUWA WAKIONESHA BIDHAA AMBAZO WAMEKUWA WAKIZIZALISHA KATIKA MKOA WA TANGA KWENYE KUTANO HUO WA UWEKEZAJI. |
WANA-CCM WANAVYOPENDEZA PINDI WANAPOVAA MAVAZI YAO YA CHAMA
![]() |
| MADIWANI TOKA KUSHOTO KHALID ABDALA KATA YA CENTRAL, DIWANI KATA YA MAJENGO MOHAMED WAKIWA KATIKA UKUMBI WA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA. |
![]() |
| VIJANA WA JIJI LA TANGA KUTOKA KULIA MIRAJ WANDI, KOMBO NA WENGINE WAKIWA KWENYE UKUMBI WA HALMASHAURI YA JIJI KUFUATILIA VIKAO VYA MADIWANI |
![]() |
| MZEE WA BONDE AKIWA NA RAISA SAIDI KWENYE UKUMBI WA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA (Picha zote hizi 4 kwa hisani ya MDAU wa Blogu hii MIRAJ WANDI ambaye ni Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Tanga. |
KITUO CHA AFYA MOMBO CHAPATA GARI LA KUBEBA WAGONJWA, NI MSAADA KUTOKA HOTEL YA LIVERPOOL
| GARI LA KUBEBA WAGONJWA JIPYA LILILOKABIDHIWA UONGOZI WA KITUO CHA AFYA MOMBO WILAYANI KOROGWE NA UONGOZI WA HOTELI MAARUFU YA LIVERPOOL ILIYOPO KATIKA MJI MDOGO WA MOMBO. |
| GARI LENYEWE HILO AMBALO LITASAIDIA WAGONJWA MBALIMBALI KWENDA KWENYE HOSPITALI KUPATA MSAADA MKUBWA WA MATIBABU MAKUBWA. |
| MKURUGENZI WA HOTELI YA LIVERPOOL NA MKUU WA WILAYA YA KOROGWE BW. ERASTO SIMA WA KWANZA KULIA WAKIANGALIA VIFAA VILIVYOMO NDANI YA GARI HILO LA WAGONJWA. |
| GARI HILI LINATAKIWA KUTUNZWA ILI LIWEZE KUSAIDIA WAGONJWA KWA MUDA MREFU. |
Subscribe to:
Posts (Atom)










