Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach

Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach
Kwa usafiri wa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha, safiri kwa raha na Simba Mtoto Luxury Coach

Wednesday, November 30, 2011

RC-TANGA AONGOZA KIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA BARABARA TANGA

MKUU WA MKOA WA TANGA LUTENI CHIKU GALLAWA AKIFUNGUA KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA TANGA

BAADHI YA WAJUMBE WA KIKAO CHA BODI YA BARABARA KUTOKA WILAYA YA KOROGWE WAKIONGOZWA NA DC WAKE BW. ERSTO SIMA (KATIKATI) WAKISIKILIZA KWA MAKINI UWASILISHAJI WA MADA MBALIMBALI KUHUSU BARABARA ZA MKOA WA TANGA

KAIMU MENEJA WA WAKALA WA BARABARA MKOA WA TANGA TANROADS INJINIA ALFRED NDUMBALO AKIWASILISHA TAARIFA YA UFANYAJI KAZI WA WAKALA HIYO KATIKA KIKAO CHA BODI YA BARABARA

MAOFISA WA MKOANI WAKIENDELEA NA ZOEZI LA KUREKODI ORODHA YA WAJUMBE WA KIKAO CHA BODI YA BARABARA

BAADHI YA WAJUMBE KUTOKA WILAYA YA MUHEZA MBUNGE WA JIMBO LA MUHEZA BW. HERBERT MNTANGI (kulia) NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO BW. AMIR KIROBOTO

MAKAMO MPYA WA KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA TANGA BW. SALEH PAMBA (KUSHOTO), MWENYEKITI WA CCM MKOA WA TANGA BW. MUSSA SHEKIMWERI NA MWENYEKITI WA KIKAO CHA BODI YA BARABARA NA MKUU WA MKOA WA TANGA LUTEN CHIKU GALLAWA WAKIFUATILIA KWA MAKINI HOJA ZA KIKAO HICHO 

No comments:

Post a Comment