Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach

Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach
Kwa usafiri wa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha, safiri kwa raha na Simba Mtoto Luxury Coach

Friday, October 12, 2012

Mzee wa Bonde aomba radhi, blogu kutokuwa hewani muda mrefu!!!

Kuna tatizo la kiufundi mara baada ya kushughulikiwa Blogu yenu ya watu na matukio ya Mzee wa Bonde, itakuwepo hewani kama kawaida kuwapa matukio mbalimbali ya Mkoani Tanga na pande nyingine za Tanzania, Afrika na Ulaya.

Tunawaomba radhi wapenzi wetu ambao mmekuwa mkipata tabu kujua kulikoni, lakini tatizo ambalo lipo nje ya uwezo wake mmiliki wa blogu hii Bw. Mashaka Mhando almaarufu Mzee wa Bonde, atakuwa nanyi hivi karibuni.

Alamsiki..............Mzee wa Bonde.

No comments:

Post a Comment