Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach

Blogu hii imedhaminiwa na Simba Video Coach
Kwa usafiri wa Dar es salaam, Morogoro, Dodoma na Arusha, safiri kwa raha na Simba Mtoto Luxury Coach

Friday, January 13, 2012

MADC KOROGWE NA LUSHOTO WAKUTANA KUMALIZA TATIZO LA UHARIBIFU WA MSITU

WAKUU WA WILAYA ZA KOROGWE NA LUSHOTO PAMOJA NA KAMATI ZAO ZA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA VIONGOZI WA VIJIJI JIRANI KUTOKA TARAFA YA MAZINDE NGUA, WAKIWA KATIKA MKUTANO WA UJIRANI MWEMA KUJADILI TATIZO LA MSITU WA LUSHOTO, KUTOKA KULIA NI MKURUGENZI WA WILAYA YA LUSHOTO LUCY MSOFE, MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ERASTO SIMA, MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO SOPHIA MJEMA NA DAS WA KOROGWE.

No comments:

Post a Comment